Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Lazaro Komba ameyasema hayo Tarehe 09.02.2023 wakati akifunga kikao kazi Cha kutathimini Hali ya lishe katika Wilaya Kalambo ambapo pamoja na Mambo mengine Suala la watoa huduma ngazi ya jamii kusuasua kukusanya takwimu za Maauala ya lishe kutokana na changamoto ya Maslahi ikaibuka.
Kimsingi watoahuma wahawa wanapaswa kufanya kazi kwa kujitolea lakini wakati mwingine wanalazimika kufanya kazi zao ili waweze kujikimu kimaisha hivyo hali hii inakwamisha zoezi la ukusanyaji wa takwimu sahihi jambo lililopelekea mkuu wa Wilaya ya Kalambo kamwagiza mkurungezi wa Halmashauri kuwawezesha kiuchumi ili wakufanye takwimu sahihi.

















