Filled Under: KIJAMII
CCM SUMBAWANGA VIJIJINI YAWATAKA RUWASA KUWASIMAMIA WAKANDARASI IPASAVYO ILI WAKAMILISHE MIRADI IPASAVYO
Socialize It →
|
|
Kamati ya Siasa CCM Sumbawanga Vijijini kwa kuambatana watendaji wa wakala wa maji vijijini na mjini RUWASA imefanya ziara kukagua utekelezaji wa miradi ya maji katika vijijin vya Ikozi,Msandamgano B na Kaengesa huku kamati hiyo ikiridhishwa na utekelezajiwa miradi hiyo,lichanya kuwepo kwa dosari ya wakandaras kutokamilisha miradi kwa wakati na kuwataka RUWASA kuongeza nguvu katika usimiamiaji wa miradi ya maji ilia iweze kutoa huduma kwa jamii katika muda uliopangwa.
Find Us on Facebook
Powered by Blogger.
Followers
Search This Blog
MASO
Kwa pamoja tusimame kulinda haki za watoto wanawake na wazee ili kujenga Taifa bora kwa jamii
Default Thumbnail
Main Tags
Pages
Popular Posts
Follow on Facebook
Blog Archive
- January 2026 (1)
- November 2023 (7)
- October 2023 (3)
- August 2023 (3)
- June 2023 (15)
- May 2023 (2)
- April 2023 (2)
- March 2023 (2)
- February 2023 (5)
